Call Us: 423 661-4734 | Email: requests@comeandreason.com      
WATU WA NDANI, WATU WA NJE, NA MPANGO WA MUNGU KWA MAISHA

WATU WA NDANI, WATU WA NJE, NA MPANGO WA MUNGU KWA MAISHA

Hivi karibuni, msikilizaji mmoja mtandaoni alituma maswali yafuatayo:

Je, watu huwa aidha watu wa ndani au watu wa nje? Je, wewe ni mmoja kati ya hao? Yesu alikuwa nani kati ya hao? Je, unaweza kuwahudumia watu ikiwa wewe ni mtu wa ndani?

Katika miaka ya 1920, daktari wa akili Carl Jung alibuni maneno mtu wa ndani(introvert) na mtu wa nje (extrovert) ili kuelezea aina mbili za tabia. Mtu wa ndani hulenga nguvu zake za kiakili na hutegemea nafsi yake ili kujipatia upya na kujichangamsha, ilhali mtu wa nje hulenga nguvu zake nje na hupata hali ya kujipatia upya na kujichangamsha kupitia wengine.

Tangu wakati huo, mengi yameandikwa kuhusu mitindo hii miwili ya tabia, na aina zake ndogo nyingi pia zimeelezewa. Nadharia zimependekezwa kuhusu tofauti katika kazi za mizunguko ya ubongo, uzoefu wa maisha, mifumo ya mtiririko wa damu, kemia ya neva, vinasaba, na majibu yanayojifunzwa, lakini hakuna maelezo ya kibaolojia yaliyo kubalika kwa wote ambayo yamepatikana.

Lakini katika kutafuta ufahamu, muulizaji kwa hekima alimrejelea Yesu. Alijiuliza: Yesu alikuwa mtu wa ndani au mtu wa nje?

Yesu alikuwa mwanadamu mkamilifu na pia alikuwa udhihirisho wa Mungu. “Mungu alikuwa ndani ya Kristo akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake” (2 Wakorintho 5:19). Yesu alisema, “Mtu yeyote aliyeniona mimi amemwona Baba” (Yohana 14:9). Na Yesu ndiye Mungu aliyefanyika mwanadamu (Yohana 1:1–3, 14).

Yesu ni Mungu katika ubinadamu, na ndani ya Yesu tunaona utekelezaji, uhai, na dhihirisho la tabia ya Mungu ya upendo na ukweli. Upendo wa Yesu ulimfanya azingatie wengine, katika kuokoa, kuponya, kubariki, kuinua, na kumpea Baba yake utukufu. Hivyo basi, wakati upendo na ukweli vilipohitaji, Yesu alikuwa mtu wa nje katika kupeleka mbele ukweli na upendo (uponyaji wa hadhara, mahubiri, miujiza ya kuwalisha maelfu, n.k.); lakini wakati upendo na ukweli vilipomhitaji, Yesu alikuwa mtu wa ndani (kunyamaza, kuondoka kimya kimya, n.k.).

Yesu hakuwa mtu wa ndani kwa mujibu wa ufafanuzi wa Jung wa kujielekeza ndani ya nafsi yake ili kupata nguvu na kujichangamsha, wala hakujitenda kama mtu asiyeonekana. Vilevile hakuwa mtu wa nje kwa kutafuta nguvu na kujichangamsha kutoka kwa watu, wala hakujionyesha kama mtu wa sherehe anayependa kuwa kitovu cha furaha.

Badala yake, Yesu alikuwa dhihirisho kamili la mpango wa Mungu kwa ajili ya binadamu. Alitafuta nguvu na kujichangamsha kwa kuwa na muda na Baba yake, akimpenda Baba yake kwa moyo wake wote, akili zake zote, nafsi yake yote, na nguvu zake zote. Alijitenga na watu kwa muda ili kupata nguvu na kujichangamsha pamoja na Baba yake, kisha akatoka kuwahudumia wengine kwa ukweli na upendo wa Mungu, akitenda kama mtu wa nje katika hali zilizosaidia kuendeleza ufalme wa Mungu na akitenda kama mtu wa ndani katika hali zilizosaidia kuendeleza ufalme wa Mungu.

Yesu alikuwa udhihirisho wa upendo na ukweli uliomtukuza Baba na kuwabariki watu.

Katika ulimwengu huu wa dhambi, roho ya hofu na ubinafsi iliyo ndani ya mwanadamu humfanya atafute amani na faraja—kile kinachomfanya ajihisi salama zaidi. Watu wa ndani na watu wa nje, kama Jung alivyowafafanua, mara nyingi ni watu wasio na usalama wa ndani wanaojaribu kufidia hofu zao za ndani—hofu ya kukataliwa, upweke, kutotosheleza, hatia, na aibu—kupitia sura yao ya kuwa mtu wa ndani au wa nje.

Kwa maneno mengine, introvert anaweza kuwa anajitegemea kupita kiasi anaposhughulika na wengine, akachoka na kuchoshwa, kisha ajitenge ili kujichaji upya; au hujitenga ili kuepuka wasiwasi unaotokana na hofu ya kutotosheleza, hofu ya kufanya makosa, hofu ya watu watasemaje, aibu, n.k., na hivyo hujiondoa ili kuepuka umakini juu yake. Extrovert, kwa kuwa mchangamfu, mwenye sauti kubwa, mcheshi, na mwenye kuburudisha, mara nyingi hufanya hivyo akitafuta kukubalika na sifa kutoka kwa wengine ili kufidia hofu na kutokujiamini vilivyo ndani yake.

Yesu anawaita wote— introvert na extrovert—wamgeukie Yeye wawe conVERTS! Yesu anawasihi wote waache maisha ya hofu na ubinafsi tuliyorithi kutoka kwa Adamu, na wazaliwe upya wakiwa na roho mpya na moyo mpya, wakiwa na Roho wake wa upendo na uaminifu, na wasiishi tena wakitawaliwa na roho ya hofu. Na mioyo yetu ikizaliwa upya kwa roho ya upendo na uaminifu, hatutafuti tena nguvu kutoka kwetu wenyewe au kutoka kwa watu, bali kama Yesu, kila siku tunatumia muda pamoja na Yeye na Baba yetu wa mbinguni na kupata nguvu, uhai, msukumo, na motisha kutoka kwake. Kama Biblia inavyosema, upendo wa Kristo unatuchochea (2 Wakorintho 5:14).

Kwa moyo huu mpya wa upendo, na akili zetu zikiwa zimemwelekea Yesu badala ya nafsi zetu, tunatafuta kumtukuza Mungu kwa kutimiza makusudi yake katika maisha yetu. Kwa hiyo, tutatenda kwa namna ya mtu wa nje pale ambapo hilo linamtukuza Mungu na kuwabariki wengine, na tutatenda kwa namna ya mtu wa ndani pale tunapohitaji kunyamaza na hilo linamtukuza Mungu. Lakini msukumo wetu wa ndani hautakuwa tena hofu na kutokujiamini, bali upendo na uaminifu kwa Mungu—kwa utukufu wake na baraka ya wengine.

Hatimaye, usichanganye utu wa ndani na utu wa nje na vipawa—watu wengine wamepewa kipawa cha muziki, cha kuzungumza, na cha uongozi ambacho kitawaita katika majukumu yanayoonekana kwa namna ya “watu wa nje.” Wengine watapewa uwezo na talanta zinazofanya kazi kwa ufanisi zaidi nyuma ya pazia na kuonekana kama “watu wa ndani.” Lakini mtu ambaye si wa ndani wala wa nje, ambaye ni kama Yesu, atajikuta akifuata uongozi wa Roho Mtakatifu, na wakati hali ni kwamba ufalme wa Mungu unasonga mbele kwa ufanisi zaidi kupitia kimya, msemaji, mwanamuziki, au kiongozi atabaki kimya, au kama Yesu, ataondoka kimya kimya. Na wakati hali ni kwamba ufalme wa Mungu unasonga mbele kwa ufanisi zaidi, mtu ambaye kwa kawaida hutimiza majukumu yake nyuma ya pazia atasema kwa ujasiri akifuata msukumo wa Roho Mtakatifu.

 

 

 

Donate online, securely via PayPal using your credit or debit card (no PayPal account needed, unless you want to set up a monthly, recurring payment).


cancel recurring payment

 

Want to use zelle instead?
See how on our
Support and Donations page.

Upcoming Events

calendar

Testimonial Post Slider

Testimony 67

I was introduced to Come And Reason by a friend of my mother-in-law, who gave me several CD’s of Dr. Jennings. The clarity of the message and recognition that God’s is a God of love was so clear, advancing beyond Dr. Maxwell’s message. However, grappled with Maxwell saying God used emergency measures for the fallen world. Now after several years of being a regular listener of the Come And Reasoning bible study class and attending Jennings’ meetings in Dallas/Fort Worth, TX, things are becoming clearer for me. Design law versus imposed law has added so much to my personal understanding of theology. This message has really impacted my work in counseling so many people miserable because they are searching for and trusting human governments to create order and peace or believing in a God who says love Me or I will kill you. I am grateful that I have an alternative view to offer my clients that makes sense. I teach a bible study class on a semi-regular basis and I value the materials that Come And Reason so freely offers to aid me in presenting this vital message. Thank you for continuing to provide advancement in our very limited understanding of a Infinite God that is rational and believable.

Dr. Roger D, Arlington, TX, USA

 

Testimony 28

I have been following your Bible study class for about a year now. I must say I am impressed with how your ministry has grown. I took it upon myself to listen to all your lesson podcasts from the past and they have both enriched me physically, mentally, emotionally and spiritually. I have learnt a lot from this class. I have also noticed how the class has grown in spiritual strength. One of the things that benefited me is that now I am not afraid of God. I use to be, but now it has melted away. The second thing is that you helped me to have a real life relationship with God. Now He is my friend that was always there and I love having him with me all the time. Thirdly, because of this class, it inspired me to take over and lead a class. I have called it “Let Us Reason Together,” adapting your inquisitive style and creating a class of free thinkers.

T. Banda, Malawi, Africa

 

Testimony 52

Your unique way in spreading the truth is what we all need today. Most of us don’t recognize the contamination coming from all the lies and selfishness in the world. Because of our fear of death, we forgot how to live. Lies left and right. I was losing hope and faith, because of so many ideas that are always contradicting each other – so many questions answered by other, more complicated, questions – until I found your channel on YouTube.

You did not just give me answers, you also taught me how to answer new questions that arise in my mind. Now I see things differently. I see God’s mercy, grace, and Love everywhere, in spite of all the chaos that we all have done as humans. I don’t fear death anymore. Accepting the Truth and Love about God is truly a genuine Freedom from all the confusions, sufferings, selfishness, pain, and death.

I just wanted to say, thank you, sooooo much for revealing the real Remedy for our infected life. I have a new hope and now see the world in a different perspective!

Wheinny P., University Place, WA, USA

 

Testimony 60

Just watched watched lesson 10 in the 1st quarter 2021 bible study classs on Isaiah. I want to thank you for your intellectual spirituality; it’s not an oxymoron! From the point of view of a teacher I also enjoy seeing how much personal pleasure you clearly take in not just tasting, but feasting on God’s word – it reminds me of Jeremiah not being able to hold it in! It makes me smile that your cup is so full and overflowing that you make it to Tuesday’s lesson (on a good day). It just goes to show the richness of God’s Word.

God bless the Come and Reason Team from our church here in Great Britain.

Andrew H., Great Britain

 

Testimony 72

I am blown away by the truth that you present. God’s Design Law makes so much sense! You have validated my impression that, if God is love, He would not kill those who don’t want to know him. If God gives us choice, then how can He destroy us if our choice is not to follow him. Thank you for opening my eyes and heart to the pure love of God seen through Jesus. The love I now have for Jesus is deeper and free from condemnation. My heart has been opened to love others as Jesus loves me. May God continue to bless your God-given insight into His word and your ministry. The truth has set me free!

H. Miller, Centereach, NY

Testimony 76

Warm greetings from Tanzania! I just wanted to take a moment to thank you and your team at Come And Reason Ministries for the amazing work you do. Your teachings have opened my eyes to deep biblical truths and how to live them out in real life. I started following the ministry back in 2018, and ever since, my walk with God has grown so much stronger. I’ve found freedom from fear-based faith and now live with more peace and trust in Him. I’ve also been sharing what I’ve learned, especially through Bible School discussions. Your lessons are so insightful and well-explained that I try not to miss a single one. May God continue to bless the work you’re doing.
Elisha M., Tanzania, Africa

Testimony 12

I have been really blessed reading your response to the various questions on your site.

K.C., OH, USA

 

Testimony 18

The Healing the Mind DVD set tarted me on a journey that has changed my relationship with our loving God more significantly than any other study, and brought me to your book and Bible study podcasts, which I now listen to daily, thanks to the availability of archived content on your site and on iTunes.

Anonymous

 

Testimony 3

My husband is a pastor and I listen to your lesson almost every week. Thank you for helping me in my study life and to help me love the “real” God more.

C. F., NC, USA

 

Testimony 35

I am so pleased with the response your message is receiving at my church from the middle-aged to the young adults. I have given out 100 copies of the first two seminars and there are more request every week. One of my [class members] came to me after viewing the series, grateful and impressed with how easy the message was retained. He had been a Seventh-day Adventist in fear all his life, and felt like the scales were removed from his eyes after viewing the seminars. I am so impressed by the change I see in members who have received this message, we are in one accord. However, I am sadden by the negative response of the older people. I am verbally attacked anytime I talk about imposed laws, but I believe my mission is to enlightened everyone I can. I watch your Bible Study Class on YouTube every Friday night and I feel like I am apart of the class. All of you are in one accord and I am so blessed to have found you. I pray that all of you continue to spread this message and I am committed to doing my part.

Clara S., Westfield, MA, USA

 

Testimony 75

Thank you so much for everything you do! Because of all these truths, I’m excited to be with Jesus! I always pray everyday, “COME TODAY, JESUS.” Before finding C&R, I was always praying for delays, “NOT TODAY OH GOD. I AM NOT READY.” I just need to share more, talk more bout this truth, so everybody will be excited for Jesus.

J C Shin

Testimony 63

I’ve been very blessed by “The God Shaped Brain” and this ministry, through video and podcast, over the last few years. It’s truly opened up my eyes more to the truth about God and the importance of that truth in the present world. The message is so inviting, freeing and enlightening and MORE people need to know about it. I believe it is the last message that can truly, not only prepare a people for salvation and translation, but vindicate the character of God.

Michael V., Yonkers, NY, USA

 

Testimony 6

I got the book “Could It Be This Simple?” a few months ago and the reading was wonderful and I was fascinated. I lent the book to a friend at work. She is having a difficult time and the book is helping her to find Jesus and I found this very exciting. She has asked me questions and I can see her life changing.

H. S., Australia

 

Testimony 64

I’ve been reading the bible and walking with Jesus since I was around 16. I’m 42 now. I’ve mostly been alone in my walk although I went to several churches in different denominations. For the past 3 years God has been showing me His character of agape. It’s been a blessing and changed how I view God and my walk with Jesus. About a year ago I came across the power of love and the principles of design law. These teachings changed how I read scripture and have been such a beautiful blessing. I’m very excited and grateful for these truths. We share these truths of agape, design law and the reality of the principles of the two trees in the garden of Eden with people on Facebook and YouTube. People all over are learning to trust God and His agape design law which makes life possible. Thank you for everything you shared with me. May God continue to bless your ministry and lives.

Bradley M., Hinsdale, NY, USA

 

Testimony 5

We listen to your bible studies lessons in our class in Montana. You actually were the main reason I decided to get a laptop, so I can go to your site and listen, read, learn, and print the class notes. I am so grateful to learn the correct view of God and his character. Now, to just have others have an interest in knowing, so I can share it with them. Good thoughts your way.

R. N., MT, USA