Call Us: 423 661-4734 | Email: requests@comeandreason.com      
KAMA UNGEKUWA MYAHUDI MWAMINIFU MIAKA 2,000 ILIYOPITA

KAMA UNGEKUWA MYAHUDI MWAMINIFU MIAKA 2,000 ILIYOPITA

Kama ungekuwa Myahudi mwaminifu mwaka wa AD 27, ungekua umeamini nini? Ungekuwa unamwamini nani? Ungeweka uaminifu wako wapi?

Maisha yako yote, ungekuwaumefundishwa na wazazi wako, walimu, na makuhani kwamba wewe uu sehemu ya watu maalum waliochaguliwa na Mungu, watu walio na maandiko yaliyovuviwa na manabii na walio kuwa wakingoja ujio wa Masihi.

Maisha yako yote, ulifundishwa kwamba dini zote zingine duniani zilikuwa za uongo.

Maisha yako yote, umekuwa ukishiriki Sabato kila wiki, kutoa dhabihu hekaluni mara kwa mara, na kusherehekea sikukuu za kila mwaka kama vile Pasaka na Siku ya Upatanisho (Yom Kippur).

Maisha yako yote, umekuwa ukiwaamini viongozi wa dini—makuhani, baraza la Sanhedrin—kufafanua maandiko matakatifu, kukuambia wajibu wako kwa Mungu, kueleza kilicho sahihi au kibaya kwa dini, na kubaini uzushi na kukufuru.

Na maisha yako yote yangekuwa mzigo—maisha chini ya hofu ya dhambi, uzito wa masharti ya dini, hofu ya kushindwa, shaka isiyokoma, hisia ya kutofaa, wasiwasi wa kudumu kwamba labda licha ya kulipa zaka zako zote, kutoa dhabihu zote, na jitihada zako zote za kufuata kanuni, bado hukukubalika na Mungu.

Kama ungekuwa Myahudi huyo, ungefanya nini? Je, kulikuwa na taasisi nyingine ya kidini ambayo Mungu alikuwa akiitumia zaidi ya Israeli? Kulikuwa na Biblia bora zaidi yenye ufunuo sahihi zaidi kuliko Torati?

Je, hilo lingemaanisha kwamba uongozi wa taasisi ya Kiyahudi ulikuwa unafundisha ukweli?

Ikiwa ungekuwa Myahudi miaka 2000 iliyopita, ingekuwa busara kuwatumainia makuhani, Walawi na Sanhedrini kuamua ni nini kilicho kweli? Nini mapenzi ya Mungu? Dhambi ni nini? Mtu anaokokaje kutoka katika dhambi?

Viongozi wa dini wa Kiyahudi walikosea wapi? Walifunika tafsiri zao za Maandiko kwa ufahamu usio sahihi wa sheria. Waliona sheria ya Mungu ikifanya kazi kama sheria za kibinadamu—kanuni zilizowekwa ambazo zinahitaji adhabu za kubuni. Kwa hivyo walipotosha ibada na mifano kuwa masharti ya moja kwa moja ya wokovu, badala ya maonyesho, mfano na somo la kivitendo lililokusudiwa kufundisha ukweli.

Kisha Yesu akaja na akafundisha kwa mamlaka—mamlaka ya jinsi uhalisia unavyofanya kazi. Hadithi Zake zote ziliwafundisha watu kwamba sheria za Mungu ni sheria za mpangilio wa uumbaji—kanuni za jinsi maisha yanavyofanya kazi. Yesu alivunja sheria za dini zilizowekwa na wanadamu ili kuendeleza ufalme wa mbinguni. Yesu aliponya siku ya Sabato na kula na makahaba, watoza ushuru, na Wasamaria. Kwa nini?

Kwa sababu Yesu hushughulika na uhalisia—na uhalisia ni kwamba Mungu aliumba wanadamu kama jamii moja Edeni.

Adamu alijipata katika hali ya dhambi, hivyo kila mwanadamu huzaliwa katika hali hiyo ya dhambi (Zaburi 51:5); kila mtu anahitaji tiba ile ile ya shida hii; na Yesu alikuja kuondoa dhambi ya ulimwengu (Yohana 1:29) ili kutoa tiba ya hali yetu ya dhambi, kuwaokoa na kuwaponya wote wanaoshiriki kile alichotoa (Wagalatia 2:20; 2 Petro 1:4).

Dhambi haiwezi kutatuliwa kwa sheria na kufuata sheria—bali kwa uumbaji upya, uponyaji, usafishaji wa moyo na akili kwa nguvu ya uumbaji wa Mungu!

Yesu alisema,

“Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwanae kuuhukumu ulimwengu bali auokoe.” (Yohana 3:16,17).

“Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jifungeni nira yangu; jifunzeni kutoka kwangu; kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. Kwa maana nira yangu ni rahisi, na mzigo wangu ni mwepesi.” ( Mathayo 11:28 -30

Na viongozi wa dini—viongozi wa watu wa Mungu walioteuliwa—walipomwona Yesu akiponya, kubariki, na kusamehe, walisema:

“Je, sisi hatusemi kwa haki ya kuwa wewe ni Msamaria na una pepo?” (Yohana 8:48).

Kama ungekuwa Myahudi mwaminifu miaka 2,000 iliyopita ukifanya kazi kwa ajili ya “kanisa,” ungejibuje?  kama viongozi wako wangekuuliza maswali haya kama walivyouliza wafuasi wao:

Hatimaye wale walinzi wa Hekalu waliokuwa wametumwa kum kamata Yesu, walirudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo. Wakauli zwa, “Mbona hamkumleta ?”

Wale walinzi wakajibu, “Hakuna mtu ambaye amewahi kufundisha kama yeye.”

Mafarisayo wakajibu, “Ameweza kuwa danganya hata ninyi? Je, mmewahi kuona kiongozi ye yote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini? Lakini huu umati wa watu wasiojua sheria ya Musa, wamelaaniwa.”  (Yohana 7:45–49).

Kwa hiyo, kama ungekuwa Myahudi mwaminifu miaka 2,000 iliyopita, ungeendelea kuwa mwaminifu kwa kushikamana na dhehebu lako, mafundisho ya walimu, makuhani, Walawi, na Sanhedrin? Au kama ungelifuata viongozi hao wa mfumo wa Mungu uliobarikiwa, ungegeuka kutoka uaminifu kwenda uasi na kujiunga nao katika kumsulubisha Yesu?

Na leo je?

Kama wewe ni Mkristo mwaminifu, unayehusishwa na dhehebu linalodaiwa kuitwa na Mungu kupeleka injili kwa ulimwengu na kuendeleza mafundisho “sahihi,” je, utaweza kubaki mwaminifu kama ukiwaachia wachungaji, makasisi, maprofesa wa theolojia, na viongozi wa kanisa wafikirie badala yako—au sharti ufikirie mwenyewe na ujue ukweli mwenyewe?

Kama Paulo alivyoshauri katika Warumi 14:5, je, hautakiwi kushawishika kabisa katika akili yako kuhusu kilicho kweli? Inawezekana kwamba ili kubaki mwaminifu kwa Yesu, itakulazimu kuwa kama Petro, Paulo, na mitume wengine—na kukataa mafundisho ya viongozi wa kanisa lako?

Haya si mambo ya kubuni—ni historia. Yametokea tena na tena. Kama mwanzilishi mmoja wa Kanisa la Waadventista alivyoandika katika

Tumaini La Vizazi Vyote:

“Sanhedrini walikuwa wameukataa ujumbe wa Kristo na walikuwa wameazimia kumuua; kwa hiyo Yesu aliondoka Yerusalemu, kutoka kwa makuhani, hekalu, viongozi wa dini, watu waliokuwa wamefundishwa katika sheria, na akageukia kundi jingine ili kulitangazia ujumbe Wake, na kuwakusanya wale ambao wangeibeba injili kwa mataifa yote.

Kama vile nuru na uzima wa wanadamu vilivyokataliwa na viongozi wa kidini katika siku za Kristo, ndivyo vilivyokataliwa katika kila kizazi kilichofuata. Mara kwa mara historia ya Kristo kujitenga na Uyahudi imerudiwa. Wakati Wanamatengenezo walipohubiri neno la Mungu, hawakuwa na wazo la kujitenga na kanisa lililoanzishwa; lakini viongozi wa kidini hawakuvumilia nuru hiyo, na wale waliokuwa wakiibeba walilazimishwa kutafuta kundi jingine lililokuwa likitamani ukweli. Katika siku zetu wachache miongoni mwa wanaodai kuwa wafuasi wa Wanamatengenezo wanaongozwa na roho yao. Wachache wanasikiliza sauti ya Mungu na wako tayari kukubali ukweli katika sura yoyote utakayowasilishwa. Mara nyingi wale wanaofuata nyayo za Wanamatengenezo hulazimika kugeuka kutoka kwa makanisa wanayoyapenda ili watangaze mafundisho ya wazi ya neno la Mungu. Na mara nyingi wale wanaotafuta nuru hulazimishwa na mafundisho hayo hayo kuyaacha makanisa ya baba zao ili waweze kutii.

Ninakutia moyo: Usije ukaanguka katika mtego wa kusalimisha  akili yako kwa wengine; daima fikiria mwenyewe na ubaki mwaminifu kwa Yesu kuliko mtu yeyote mwingine.

 

 

Donate online, securely via PayPal using your credit or debit card (no PayPal account needed, unless you want to set up a monthly, recurring payment).


cancel recurring payment

 

Want to use zelle instead?
See how on our
Support and Donations page.

Upcoming Events

calendar

Testimonial Post Slider

Testimony 44

We were given a gift of the DVD set, “God and Your Brain,” and we just finished watching it. The truths in this are so powerful and truly an answer to a prayer. We’re seeing hope where once we thought God wasn’t answering our prayers to be free of certain mindsets. He answered with these DVDs and we are hungry for more. Thank you!

Daniel T., Easley, SC, USA

 

Testimony 63

I’ve been very blessed by “The God Shaped Brain” and this ministry, through video and podcast, over the last few years. It’s truly opened up my eyes more to the truth about God and the importance of that truth in the present world. The message is so inviting, freeing and enlightening and MORE people need to know about it. I believe it is the last message that can truly, not only prepare a people for salvation and translation, but vindicate the character of God.

Michael V., Yonkers, NY, USA

 

Testimony 5

We listen to your bible studies lessons in our class in Montana. You actually were the main reason I decided to get a laptop, so I can go to your site and listen, read, learn, and print the class notes. I am so grateful to learn the correct view of God and his character. Now, to just have others have an interest in knowing, so I can share it with them. Good thoughts your way.

R. N., MT, USA

 

Testimony 11

I would love to have a copy of “Healing the Mind” DVDs to have in my therapy office. I enjoy having clients check out materials to enhance their therapy experience. I have sat under Dr. Jennings’ teaching at an American Association of Christian Counselors convention and respect his work greatly.

K.B., LA, USA

 

Testimony 29

Thank you for all of your work to correct misconceptions about God’s character. So many people that my husband and I have talked to seem to be against the natural law construct and view it as “errant” and “dangerous.” Having learned more about it through your blogs and lessons, I don’t really understand why they view it that way, except that it means they have to relearn theology they have known for their entire lives. But I’m so excited to relearn this. For the past few years I have been questioning how I could trust a God who punishes arbitrarily and is full of wrath for those who don’t obey His commands. That view made me afraid to “mess up” or “not be good enough,” even within my relationship with God. I really appreciated the point you bring out about God not wanting us to serve Him because we are afraid, but because we love Him.

Melissa H., IN, USA

 

Testimony 6

I got the book “Could It Be This Simple?” a few months ago and the reading was wonderful and I was fascinated. I lent the book to a friend at work. She is having a difficult time and the book is helping her to find Jesus and I found this very exciting. She has asked me questions and I can see her life changing.

H. S., Australia

 

Testimony 40

I was brought up in a different faith and have been petrified my whole life of God. I believed that I would burn in hell for eternity. When I was 12 I started pursuing the things of this world, but for the next 45 years the Spirit was always calling me, as I knew there was a God through nature. I could see the vast sea of stars in the universe and knew there was something bigger out there. Five years ago, through a Revelation seminar, I was blessed to learn about God’s character and government.

Then I found Come and Reason Ministries and have come under some extreme pressure when I speak about the ministry. One time a member sent me an internet article titled “Whats wrong with Tim Jennings?” I asked her what she thought of it and she said “I don’t know, I didn’t read it.”

I have always wanted to find out for myself the truth about God, so I stayed with the Design Law construct and have been liberated to understand the big picture. Once we consider Design Law, all other Bible stories and prophecies seem to fit perfectly. It is truly beautiful to see people grasping how God operates this Universe of Love and the liberation it has provided in their lives. It blows my mind to see how consistent Design law is with what our founders believed. I hear statements like “This makes so much sense.”

Tom W., Mt. Pleasant, MI, USA

 

Testimony 24

I wanted to thank you very much for presenting your understanding of God. I’ve always been troubled by this question: Why did Jesus have to die? Since my conversion I understood that The Father & Jesus are one, I did not have issues with that. But was there not any other way to save us than for Jesus to die? I guess I actually had a question about God – if He is so wise, how come He did not find another way? I did not see the real ‘beauty’  in the cross. Only when you explained the picture in the medical context, Jesus providing medicine for my selfishness, have I started to finally ‘see the light’. Thank you so much. Your seminar, “Healing the Mind,” are absolutely marvelous & have shared them with my family and many other people, including colleagues at work. Thanks, thanks, thanks. May God bless you abundantly in your ministry.

M. W., Australia

 

Testimony 47

I can’t even begin to thank you and your ministry enough for introducing me to the Truth about a loving and merciful God! I have my daughter and her in-laws to thank for sharing with me “The God-Shaped Brain” as well as your website. I listen to the Bible study class lessons on my daily walk. May God continue to bless your thirst-quenching ministry!

Liz H., Port Angeles, WA, USA

 

 

Testimony 28

I have been following your Bible study class for about a year now. I must say I am impressed with how your ministry has grown. I took it upon myself to listen to all your lesson podcasts from the past and they have both enriched me physically, mentally, emotionally and spiritually. I have learnt a lot from this class. I have also noticed how the class has grown in spiritual strength. One of the things that benefited me is that now I am not afraid of God. I use to be, but now it has melted away. The second thing is that you helped me to have a real life relationship with God. Now He is my friend that was always there and I love having him with me all the time. Thirdly, because of this class, it inspired me to take over and lead a class. I have called it “Let Us Reason Together,” adapting your inquisitive style and creating a class of free thinkers.

T. Banda, Malawi, Africa

 

Testimony 12

I have been really blessed reading your response to the various questions on your site.

K.C., OH, USA

 

Testimony 41

I have been blessed by your ministry. I have experienced personally, and deeply resonate with, the God of love and the beautiful picture of God’s character that you present. I have seen your seminar series on YouTube, read ‘The Journal of the Watcher’ book, used your mobile app, and also listen/study the bible study lesson with you each week. I concur with many of the thoughts and perspectives that you share. I understand your conclusions on natural laws vs imposed law and the legal/penal substitution (incorrect diagnosis). This makes perfect sense to me.

Bless you for all you do.

Melissa L.

 

Testimony 52

Your unique way in spreading the truth is what we all need today. Most of us don’t recognize the contamination coming from all the lies and selfishness in the world. Because of our fear of death, we forgot how to live. Lies left and right. I was losing hope and faith, because of so many ideas that are always contradicting each other – so many questions answered by other, more complicated, questions – until I found your channel on YouTube.

You did not just give me answers, you also taught me how to answer new questions that arise in my mind. Now I see things differently. I see God’s mercy, grace, and Love everywhere, in spite of all the chaos that we all have done as humans. I don’t fear death anymore. Accepting the Truth and Love about God is truly a genuine Freedom from all the confusions, sufferings, selfishness, pain, and death.

I just wanted to say, thank you, sooooo much for revealing the real Remedy for our infected life. I have a new hope and now see the world in a different perspective!

Wheinny P., University Place, WA, USA

 

Testimony 67

I was introduced to Come And Reason by a friend of my mother-in-law, who gave me several CD’s of Dr. Jennings. The clarity of the message and recognition that God’s is a God of love was so clear, advancing beyond Dr. Maxwell’s message. However, grappled with Maxwell saying God used emergency measures for the fallen world. Now after several years of being a regular listener of the Come And Reasoning bible study class and attending Jennings’ meetings in Dallas/Fort Worth, TX, things are becoming clearer for me. Design law versus imposed law has added so much to my personal understanding of theology. This message has really impacted my work in counseling so many people miserable because they are searching for and trusting human governments to create order and peace or believing in a God who says love Me or I will kill you. I am grateful that I have an alternative view to offer my clients that makes sense. I teach a bible study class on a semi-regular basis and I value the materials that Come And Reason so freely offers to aid me in presenting this vital message. Thank you for continuing to provide advancement in our very limited understanding of a Infinite God that is rational and believable.

Dr. Roger D, Arlington, TX, USA

 

Testimony 15

I have been sharing Come And Reason Ministries Bible study lessons with several folk. You have such a beautiful view of the plan of salvation. If we had this message preached when I was young, my generation would still all be in church.

H. R., New Zealand