Call Us: 423 661-4734 | Email: requests@comeandreason.com      
KAMA UNGEKUWA MYAHUDI MWAMINIFU MIAKA 2,000 ILIYOPITA

KAMA UNGEKUWA MYAHUDI MWAMINIFU MIAKA 2,000 ILIYOPITA

Kama ungekuwa Myahudi mwaminifu mwaka wa AD 27, ungekua umeamini nini? Ungekuwa unamwamini nani? Ungeweka uaminifu wako wapi?

Maisha yako yote, ungekuwaumefundishwa na wazazi wako, walimu, na makuhani kwamba wewe uu sehemu ya watu maalum waliochaguliwa na Mungu, watu walio na maandiko yaliyovuviwa na manabii na walio kuwa wakingoja ujio wa Masihi.

Maisha yako yote, ulifundishwa kwamba dini zote zingine duniani zilikuwa za uongo.

Maisha yako yote, umekuwa ukishiriki Sabato kila wiki, kutoa dhabihu hekaluni mara kwa mara, na kusherehekea sikukuu za kila mwaka kama vile Pasaka na Siku ya Upatanisho (Yom Kippur).

Maisha yako yote, umekuwa ukiwaamini viongozi wa dini—makuhani, baraza la Sanhedrin—kufafanua maandiko matakatifu, kukuambia wajibu wako kwa Mungu, kueleza kilicho sahihi au kibaya kwa dini, na kubaini uzushi na kukufuru.

Na maisha yako yote yangekuwa mzigo—maisha chini ya hofu ya dhambi, uzito wa masharti ya dini, hofu ya kushindwa, shaka isiyokoma, hisia ya kutofaa, wasiwasi wa kudumu kwamba labda licha ya kulipa zaka zako zote, kutoa dhabihu zote, na jitihada zako zote za kufuata kanuni, bado hukukubalika na Mungu.

Kama ungekuwa Myahudi huyo, ungefanya nini? Je, kulikuwa na taasisi nyingine ya kidini ambayo Mungu alikuwa akiitumia zaidi ya Israeli? Kulikuwa na Biblia bora zaidi yenye ufunuo sahihi zaidi kuliko Torati?

Je, hilo lingemaanisha kwamba uongozi wa taasisi ya Kiyahudi ulikuwa unafundisha ukweli?

Ikiwa ungekuwa Myahudi miaka 2000 iliyopita, ingekuwa busara kuwatumainia makuhani, Walawi na Sanhedrini kuamua ni nini kilicho kweli? Nini mapenzi ya Mungu? Dhambi ni nini? Mtu anaokokaje kutoka katika dhambi?

Viongozi wa dini wa Kiyahudi walikosea wapi? Walifunika tafsiri zao za Maandiko kwa ufahamu usio sahihi wa sheria. Waliona sheria ya Mungu ikifanya kazi kama sheria za kibinadamu—kanuni zilizowekwa ambazo zinahitaji adhabu za kubuni. Kwa hivyo walipotosha ibada na mifano kuwa masharti ya moja kwa moja ya wokovu, badala ya maonyesho, mfano na somo la kivitendo lililokusudiwa kufundisha ukweli.

Kisha Yesu akaja na akafundisha kwa mamlaka—mamlaka ya jinsi uhalisia unavyofanya kazi. Hadithi Zake zote ziliwafundisha watu kwamba sheria za Mungu ni sheria za mpangilio wa uumbaji—kanuni za jinsi maisha yanavyofanya kazi. Yesu alivunja sheria za dini zilizowekwa na wanadamu ili kuendeleza ufalme wa mbinguni. Yesu aliponya siku ya Sabato na kula na makahaba, watoza ushuru, na Wasamaria. Kwa nini? Kwa sababu Yesu hushughulika na uhalisia—na uhalisia ni kwamba Mungu aliumba wanadamu kama jamii moja Edeni. Adamu alijipata katika hali ya dhambi, hivyo kila mwanadamu huzaliwa katika hali hiyo ya dhambi (Zaburi 51:5); kila mtu anahitaji tiba ile ile ya shida hii; na Yesu alikuja kuondoa dhambi ya ulimwengu (Yohana 1:29) ili kutoa tiba ya hali yetu ya dhambi, kuwaokoa na kuwaponya wote wanaoshiriki kile alichotoa (Wagalatia 2:20; 2 Petro 1:4). Dhambi haiwezi kutatuliwa kwa sheria na kufuata sheria—bali kwa uumbaji upya, uponyaji, usafishaji wa moyo na akili kwa nguvu ya uumbaji wa Mungu!

Yesu alisema,

“Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwanae kuuhukumu ulimwengu bali auokoe.” (Yohana 3:16,17).

“Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jifungeni nira yangu; jifunzeni kutoka kwangu; kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. Kwa maana nira yangu ni rahisi, na mzigo wangu ni mwepesi.” ( Mathayo 11:28 -30

Na viongozi wa dini—viongozi wa watu wa Mungu walioteuliwa—walipomwona Yesu akiponya, kubariki, na kusamehe, walisema:

“Je, sisi hatusemi kwa haki ya kuwa wewe ni Msamaria na una pepo?” (Yohana 8:48).

Kama ungekuwa Myahudi mwaminifu miaka 2,000 iliyopita ukifanya kazi kwa ajili ya “kanisa,” ungejibuje?  kama viongozi wako wangekuuliza maswali haya kama walivyouliza wafuasi wao:

Hatimaye wale walinzi wa Hekalu waliokuwa wametumwa kum kamata Yesu, walirudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo. Wakauli zwa, “Mbona hamkumleta ?”

Wale walinzi wakajibu, “Hakuna mtu ambaye amewahi kufundisha kama yeye.”

Mafarisayo wakajibu, “Ameweza kuwa danganya hata ninyi? Je, mmewahi kuona kiongozi ye yote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini? Lakini huu umati wa watu wasiojua sheria ya Musa, wamelaaniwa.”  (Yohana 7:45–49).

Kwa hiyo, kama ungekuwa Myahudi mwaminifu miaka 2,000 iliyopita, ungeendelea kuwa mwaminifu kwa kushikamana na dhehebu lako, mafundisho ya walimu, makuhani, Walawi, na Sanhedrin? Au kama ungelifuata viongozi hao wa mfumo wa Mungu uliobarikiwa, ungegeuka kutoka uaminifu kwenda uasi na kujiunga nao katika kumsulubisha Yesu?

Na leo je?

Kama wewe ni Mkristo mwaminifu, unayehusishwa na dhehebu linalodaiwa kuitwa na Mungu kupeleka injili kwa ulimwengu na kuendeleza mafundisho “sahihi,” je, utaweza kubaki mwaminifu kama ukiwaachia wachungaji, makasisi, maprofesa wa theolojia, na viongozi wa kanisa wafikirie badala yako—au sharti ufikirie mwenyewe na ujue ukweli mwenyewe?

Kama Paulo alivyoshauri katika Warumi 14:5, je, hautakiwi kushawishika kabisa katika akili yako kuhusu kilicho kweli? Inawezekana kwamba ili kubaki mwaminifu kwa Yesu, itakulazimu kuwa kama Petro, Paulo, na mitume wengine—na kukataa mafundisho ya viongozi wa kanisa lako?

Haya si mambo ya kubuni—ni historia. Yametokea tena na tena. Kama mwanzilishi mmoja wa Kanisa la Waadventista alivyoandika katika Tumaini La Vizazi Vyote:

“Sanhedrini walikuwa wameukataa ujumbe wa Kristo na walikuwa wameazimia kumuua; kwa hiyo Yesu aliondoka Yerusalemu, kutoka kwa makuhani, hekalu, viongozi wa dini, watu waliokuwa wamefundishwa katika sheria, na akageukia kundi jingine ili kulitangazia ujumbe Wake, na kuwakusanya wale ambao wangeibeba injili kwa mataifa yote.

Kama vile nuru na uzima wa wanadamu vilivyokataliwa na viongozi wa kidini katika siku za Kristo, ndivyo vilivyokataliwa katika kila kizazi kilichofuata. Mara kwa mara historia ya Kristo kujitenga na Uyahudi imerudiwa. Wakati Wanamatengenezo walipohubiri neno la Mungu, hawakuwa na wazo la kujitenga na kanisa lililoanzishwa; lakini viongozi wa kidini hawakuvumilia nuru hiyo, na wale waliokuwa wakiibeba walilazimishwa kutafuta kundi jingine lililokuwa likitamani ukweli. Katika siku zetu wachache miongoni mwa wanaodai kuwa wafuasi wa Wanamatengenezo wanaongozwa na roho yao. Wachache wanasikiliza sauti ya Mungu na wako tayari kukubali ukweli katika sura yoyote utakayowasilishwa. Mara nyingi wale wanaofuata nyayo za Wanamatengenezo hulazimika kugeuka kutoka kwa makanisa wanayoyapenda ili watangaze mafundisho ya wazi ya neno la Mungu. Na mara nyingi wale wanaotafuta nuru hulazimishwa na mafundisho hayo hayo kuyaacha makanisa ya baba zao ili waweze kutii.

Ninakutia moyo: Usije ukaanguka katika mtego wa kusalimisha  akili yako kwa wengine; daima fikiria mwenyewe na ubaki mwaminifu kwa Yesu kuliko mtu yeyote mwingine.

 

 

Donate online, securely via PayPal using your credit or debit card (no PayPal account needed, unless you want to set up a monthly, recurring payment).


cancel recurring payment

 

Want to use zelle instead?
See how on our
Support and Donations page.

Upcoming Events

calendar

Testimonial Post Slider

Testimony 20

I just wanted to personally thank you for your teachings and insight into scripture. I came across your website via my cousin who suggested I look into “Healing the Mind” information. My youngest daughter has been struggling over the last couple of years and it all came to a head this spring. When I started listening to the “Healing the Mind” lectures my own life began to be transformed. I began sharing with all my daughters the concepts you laid out so clearly. I ordered your book and soaked it up. I just want to say “Thank You!” My walk with the Lord has been refreshed and renewed. Your obedience to the Lord is a blessing to so many.

R. K., Anderson, SC, USA

 

Testimony 60

Just watched watched lesson 10 in the 1st quarter 2021 bible study classs on Isaiah. I want to thank you for your intellectual spirituality; it’s not an oxymoron! From the point of view of a teacher I also enjoy seeing how much personal pleasure you clearly take in not just tasting, but feasting on God’s word – it reminds me of Jeremiah not being able to hold it in! It makes me smile that your cup is so full and overflowing that you make it to Tuesday’s lesson (on a good day). It just goes to show the richness of God’s Word.

God bless the Come and Reason Team from our church here in Great Britain.

Andrew H., Great Britain

 

Testimony 31

It was very touching to hear the testimony of your class share how viewing God’s true character has changed their lives. My feelings are the same – there is so much freedom in knowing that God LOVES me – regardless of my… just, REGARDLESS! I’m still blown away by the true gospel, the fact that God is not ready to strike us when we fail. He is not arbitrary. He simply loves us and warns of the natural consequences because He can’t stand to see us suffer. I AM IN LOVE WITH THIS GOD!!!

Ceil V.,  UT, USA

 

Testimony 48

I just want to tell you how blessed I have been reading “The Remedy!” It has become a daily part of my devotional relationship with God. In it I have found a God of love and a God that loves me! The bible has come alive for me! It is the first time that I can say that I have felt hope fill my heart as I have read God’s word. This is good news I can share! Thank you, Dr Jennings! Thank you for your heart for others. I can’t put into words how this has set me free! It has strengthened my trust and love for God.

Jason H.

 

Testimony 59

I’m a native Ghanan, but am currently in France for my master’s degree. Prior to this, during my final years at undergraduate studies in Ghana, I was introduced to your ministry and I’ve been immensely blessed by what you share, especially about the Design and Imposed Laws. God richly bless you for that.

One of the first things I did when I arrived in France was to buy all four of your books. They not only helped me, but those I shared them with. I shared the message with an atheist student and I marveled at how God worked mightily in his life. Today this person shares the Love of God with others and debunks theories of who God is not. I want to share what you present in your “Heavenly Sanctuary and Investigative Judgment” pamphlet, because the message brought rest to my soul and I live today as a healthy person.

God bless you so much and your ministry.

Michael A., Ghana

 

Testimony 23

I would just like to add my voice to the many people who, I believe, must have contacted you to express their appreciation for the “Healing the Mind” DVDs. I’ve been listening to your Bible study class discussions for many years and I’ve been personally blessed by your research and teaching about the character of God.

L. G., Oakland, MI, USA

 

Testimony 53

I was so blessed by a friend who gave me your book, “The God Shaped Brain,” while I was sitting in church asking God to please help me learn more about Him and help me not to be so confused and scared. That was about 2 years ago. Your books have helped me to love God even more. I’m not confused or scared anymore! I have listened to all of your bible study classes and feel like I know the wonderful people that attend every week. Thank you for all that you’re doing in spreading the true message about God and His law of love. God bless you and your whole class.

Elssy P., Modesto, CA, USA

 

Testimony 49

I came into the church at 21, but that is as far as it went. I was so confused about what love is. I couldn’t find it in the bible, because I am not a person that can read between the lines. I have no logic. I have read many, many books; trying to figure out the crux of the matter. They were helpful, but something was still missing. I have become very frustrated to the point of crying out to God, “Where can I go?”  I needed some basics.

I found two books, written by Timothy Jennings, MD, to be very helpful. God showed me that I had lived my whole life in fear. I didn’t even see it. Now, I do. God is so good.  I discovered the “The Remedy”  Dr. Jennings new book, “The God-Shaped Heart!” Oh, I was so excited, I purchased them right away.

I can get rid of most of my books, because “The Remedy” brings the Love of God out so clearly, even I can’t miss it. Now, I want to sit and read my Bible. Wow, what a revelation! It is just simply Awesome! I am so grateful to Jehovah Almighty for hearing my prayer for more understanding! I am so encouraged!

Jackie S.

 

Testimony 65

I have been tuning into your weekly study classes for a while now and wanted express my appreciation for the teachings that ha been a huge blessing in opening up the true message of the word. Viewing scripture under an imposed law theory always, without fail, raised more questions, concerns, and conflicting scripture interpretations that were discouraging at the very least. Looking at scripture through the design law lens has brought more truth to light for me personally and an understanding of our Heavenly Father that places Him “above all others,” where I am now more than thrilled to witness and serve Him.  I “stumbled” across this ministry a year or so ago and would only watch a few minutes at a time. But the more I listened and the longer I paid attention, the more my spiritual eyes were opened to the ever present truths of scripture. The comprehension of the great controversy and it’s origin by the lies perpetrated and perpetuated throughout the Bible on the attack of God’s character and government is truly priceless. Keep up the Good Work! Your servanthood is desperately needed in such a time as this!

Jeff D., Reading, MA, USA

 

Testimony 64

I’ve been reading the bible and walking with Jesus since I was around 16. I’m 42 now. I’ve mostly been alone in my walk although I went to several churches in different denominations. For the past 3 years God has been showing me His character of agape. It’s been a blessing and changed how I view God and my walk with Jesus. About a year ago I came across the power of love and the principles of design law. These teachings changed how I read scripture and have been such a beautiful blessing. I’m very excited and grateful for these truths. We share these truths of agape, design law and the reality of the principles of the two trees in the garden of Eden with people on Facebook and YouTube. People all over are learning to trust God and His agape design law which makes life possible. Thank you for everything you shared with me. May God continue to bless your ministry and lives.

Bradley M., Hinsdale, NY, USA

 

Testimony 58

I have been watching your videos in The Power of Love seminar and I must say these have liberated me and have improved my relationship with the Lord. I am no longer terrified of him as I was before following your teachings.

Thando N., South Africa

 

Testimony 11

I would love to have a copy of “Healing the Mind” DVDs to have in my therapy office. I enjoy having clients check out materials to enhance their therapy experience. I have sat under Dr. Jennings’ teaching at an American Association of Christian Counselors convention and respect his work greatly.

K.B., LA, USA

 

Testimony 19

I truly believe that to know who God really is the first step to understand ourselves in a balanced and kind way, so the healing can take place. Your approach really makes sense – Thank you for your ministry!

A.M., Pittsburg, PA, USA

Testimony 33

I was invited over a friend’s house to see the “God and Your Brain” seminar today. I became [a christian] 36 years ago at the age of 19, but have struggled with the concept of God taking His ‘pound of flesh’ out on His Son to be appeased. Wow. Your seminar has been an incredible revelation and breath of reason and fresh air! I have your book, “The God Shaped Brain,” and it is SO eye opening. Finally, after 36 years enlightenment has come! Praise the Good Lord! What can I say, but that the Real Gospel is truly “Good News!” Thank you for your efforts in giving the Gospel a clear sound!

Paul C.,  Springfield, MA, USA

 

Testimony 24

I wanted to thank you very much for presenting your understanding of God. I’ve always been troubled by this question: Why did Jesus have to die? Since my conversion I understood that The Father & Jesus are one, I did not have issues with that. But was there not any other way to save us than for Jesus to die? I guess I actually had a question about God – if He is so wise, how come He did not find another way? I did not see the real ‘beauty’  in the cross. Only when you explained the picture in the medical context, Jesus providing medicine for my selfishness, have I started to finally ‘see the light’. Thank you so much. Your seminar, “Healing the Mind,” are absolutely marvelous & have shared them with my family and many other people, including colleagues at work. Thanks, thanks, thanks. May God bless you abundantly in your ministry.

M. W., Australia