Call Us: 423 661-4734 | Email: requests@comeandreason.com      
KAMA UNGEKUWA MYAHUDI MWAMINIFU MIAKA 2,000 ILIYOPITA

KAMA UNGEKUWA MYAHUDI MWAMINIFU MIAKA 2,000 ILIYOPITA

Kama ungekuwa Myahudi mwaminifu mwaka wa AD 27, ungekua umeamini nini? Ungekuwa unamwamini nani? Ungeweka uaminifu wako wapi?

Maisha yako yote, ungekuwaumefundishwa na wazazi wako, walimu, na makuhani kwamba wewe uu sehemu ya watu maalum waliochaguliwa na Mungu, watu walio na maandiko yaliyovuviwa na manabii na walio kuwa wakingoja ujio wa Masihi.

Maisha yako yote, ulifundishwa kwamba dini zote zingine duniani zilikuwa za uongo.

Maisha yako yote, umekuwa ukishiriki Sabato kila wiki, kutoa dhabihu hekaluni mara kwa mara, na kusherehekea sikukuu za kila mwaka kama vile Pasaka na Siku ya Upatanisho (Yom Kippur).

Maisha yako yote, umekuwa ukiwaamini viongozi wa dini—makuhani, baraza la Sanhedrin—kufafanua maandiko matakatifu, kukuambia wajibu wako kwa Mungu, kueleza kilicho sahihi au kibaya kwa dini, na kubaini uzushi na kukufuru.

Na maisha yako yote yangekuwa mzigo—maisha chini ya hofu ya dhambi, uzito wa masharti ya dini, hofu ya kushindwa, shaka isiyokoma, hisia ya kutofaa, wasiwasi wa kudumu kwamba labda licha ya kulipa zaka zako zote, kutoa dhabihu zote, na jitihada zako zote za kufuata kanuni, bado hukukubalika na Mungu.

Kama ungekuwa Myahudi huyo, ungefanya nini? Je, kulikuwa na taasisi nyingine ya kidini ambayo Mungu alikuwa akiitumia zaidi ya Israeli? Kulikuwa na Biblia bora zaidi yenye ufunuo sahihi zaidi kuliko Torati?

Je, hilo lingemaanisha kwamba uongozi wa taasisi ya Kiyahudi ulikuwa unafundisha ukweli?

Ikiwa ungekuwa Myahudi miaka 2000 iliyopita, ingekuwa busara kuwatumainia makuhani, Walawi na Sanhedrini kuamua ni nini kilicho kweli? Nini mapenzi ya Mungu? Dhambi ni nini? Mtu anaokokaje kutoka katika dhambi?

Viongozi wa dini wa Kiyahudi walikosea wapi? Walifunika tafsiri zao za Maandiko kwa ufahamu usio sahihi wa sheria. Waliona sheria ya Mungu ikifanya kazi kama sheria za kibinadamu—kanuni zilizowekwa ambazo zinahitaji adhabu za kubuni. Kwa hivyo walipotosha ibada na mifano kuwa masharti ya moja kwa moja ya wokovu, badala ya maonyesho, mfano na somo la kivitendo lililokusudiwa kufundisha ukweli.

Kisha Yesu akaja na akafundisha kwa mamlaka—mamlaka ya jinsi uhalisia unavyofanya kazi. Hadithi Zake zote ziliwafundisha watu kwamba sheria za Mungu ni sheria za mpangilio wa uumbaji—kanuni za jinsi maisha yanavyofanya kazi. Yesu alivunja sheria za dini zilizowekwa na wanadamu ili kuendeleza ufalme wa mbinguni. Yesu aliponya siku ya Sabato na kula na makahaba, watoza ushuru, na Wasamaria. Kwa nini? Kwa sababu Yesu hushughulika na uhalisia—na uhalisia ni kwamba Mungu aliumba wanadamu kama jamii moja Edeni. Adamu alijipata katika hali ya dhambi, hivyo kila mwanadamu huzaliwa katika hali hiyo ya dhambi (Zaburi 51:5); kila mtu anahitaji tiba ile ile ya shida hii; na Yesu alikuja kuondoa dhambi ya ulimwengu (Yohana 1:29) ili kutoa tiba ya hali yetu ya dhambi, kuwaokoa na kuwaponya wote wanaoshiriki kile alichotoa (Wagalatia 2:20; 2 Petro 1:4). Dhambi haiwezi kutatuliwa kwa sheria na kufuata sheria—bali kwa uumbaji upya, uponyaji, usafishaji wa moyo na akili kwa nguvu ya uumbaji wa Mungu!

Yesu alisema,

“Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwanae kuuhukumu ulimwengu bali auokoe.” (Yohana 3:16,17).

“Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jifungeni nira yangu; jifunzeni kutoka kwangu; kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. Kwa maana nira yangu ni rahisi, na mzigo wangu ni mwepesi.” ( Mathayo 11:28 -30

Na viongozi wa dini—viongozi wa watu wa Mungu walioteuliwa—walipomwona Yesu akiponya, kubariki, na kusamehe, walisema:

“Je, sisi hatusemi kwa haki ya kuwa wewe ni Msamaria na una pepo?” (Yohana 8:48).

Kama ungekuwa Myahudi mwaminifu miaka 2,000 iliyopita ukifanya kazi kwa ajili ya “kanisa,” ungejibuje?  kama viongozi wako wangekuuliza maswali haya kama walivyouliza wafuasi wao:

Hatimaye wale walinzi wa Hekalu waliokuwa wametumwa kum kamata Yesu, walirudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo. Wakauli zwa, “Mbona hamkumleta ?”

Wale walinzi wakajibu, “Hakuna mtu ambaye amewahi kufundisha kama yeye.”

Mafarisayo wakajibu, “Ameweza kuwa danganya hata ninyi? Je, mmewahi kuona kiongozi ye yote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini? Lakini huu umati wa watu wasiojua sheria ya Musa, wamelaaniwa.”  (Yohana 7:45–49).

Kwa hiyo, kama ungekuwa Myahudi mwaminifu miaka 2,000 iliyopita, ungeendelea kuwa mwaminifu kwa kushikamana na dhehebu lako, mafundisho ya walimu, makuhani, Walawi, na Sanhedrin? Au kama ungelifuata viongozi hao wa mfumo wa Mungu uliobarikiwa, ungegeuka kutoka uaminifu kwenda uasi na kujiunga nao katika kumsulubisha Yesu?

Na leo je?

Kama wewe ni Mkristo mwaminifu, unayehusishwa na dhehebu linalodaiwa kuitwa na Mungu kupeleka injili kwa ulimwengu na kuendeleza mafundisho “sahihi,” je, utaweza kubaki mwaminifu kama ukiwaachia wachungaji, makasisi, maprofesa wa theolojia, na viongozi wa kanisa wafikirie badala yako—au sharti ufikirie mwenyewe na ujue ukweli mwenyewe?

Kama Paulo alivyoshauri katika Warumi 14:5, je, hautakiwi kushawishika kabisa katika akili yako kuhusu kilicho kweli? Inawezekana kwamba ili kubaki mwaminifu kwa Yesu, itakulazimu kuwa kama Petro, Paulo, na mitume wengine—na kukataa mafundisho ya viongozi wa kanisa lako?

Haya si mambo ya kubuni—ni historia. Yametokea tena na tena. Kama mwanzilishi mmoja wa Kanisa la Waadventista alivyoandika katika Tumaini La Vizazi Vyote:

“Sanhedrini walikuwa wameukataa ujumbe wa Kristo na walikuwa wameazimia kumuua; kwa hiyo Yesu aliondoka Yerusalemu, kutoka kwa makuhani, hekalu, viongozi wa dini, watu waliokuwa wamefundishwa katika sheria, na akageukia kundi jingine ili kulitangazia ujumbe Wake, na kuwakusanya wale ambao wangeibeba injili kwa mataifa yote.

Kama vile nuru na uzima wa wanadamu vilivyokataliwa na viongozi wa kidini katika siku za Kristo, ndivyo vilivyokataliwa katika kila kizazi kilichofuata. Mara kwa mara historia ya Kristo kujitenga na Uyahudi imerudiwa. Wakati Wanamatengenezo walipohubiri neno la Mungu, hawakuwa na wazo la kujitenga na kanisa lililoanzishwa; lakini viongozi wa kidini hawakuvumilia nuru hiyo, na wale waliokuwa wakiibeba walilazimishwa kutafuta kundi jingine lililokuwa likitamani ukweli. Katika siku zetu wachache miongoni mwa wanaodai kuwa wafuasi wa Wanamatengenezo wanaongozwa na roho yao. Wachache wanasikiliza sauti ya Mungu na wako tayari kukubali ukweli katika sura yoyote utakayowasilishwa. Mara nyingi wale wanaofuata nyayo za Wanamatengenezo hulazimika kugeuka kutoka kwa makanisa wanayoyapenda ili watangaze mafundisho ya wazi ya neno la Mungu. Na mara nyingi wale wanaotafuta nuru hulazimishwa na mafundisho hayo hayo kuyaacha makanisa ya baba zao ili waweze kutii.

Ninakutia moyo: Usije ukaanguka katika mtego wa kusalimisha  akili yako kwa wengine; daima fikiria mwenyewe na ubaki mwaminifu kwa Yesu kuliko mtu yeyote mwingine.

 

 

Donate online, securely via PayPal using your credit or debit card (no PayPal account needed, unless you want to set up a monthly, recurring payment).


cancel recurring payment

 

Want to use zelle instead?
See how on our
Support and Donations page.

Upcoming Events

calendar

Testimonial Post Slider

Testimony 34

I was introduced to Come and Reason Ministries by accident, via a passing comment made in a bible study class we were visiting. I checked this website out and my life was changed. The understanding of the truth of God’s character, and how we apply it, is so right. The tricky part is consistently applying which “lens” to look through. As I began to understand, I started sharing the basics of this understanding with a discussion group I was leading and, suddenly, a lot of things started to make sense that never used to. At the same time, I enjoyed an amazing opportunity. I was able to conduct a full bible study at WORK! What an amazing experience! It is such a joy to share the truth about God and to share how it all fits in the war between God and Satan. So many people benefit when we have a correct understanding about how God works and who He really is! Thank you for this transformational understanding. Keep up the good work! God Bless you!

Tony P., CA, USA

 

Testimony 46

Over the past couple of years God has been expanding my view of Himself and His character. Along my approximately 40-year journey, I have often had questions, but was hesitant to voice these and step outside the traditionally accepted thinking, for fear of admitting that I may in fact be eternally lost. In the recesses of my thinking has been the thought – if one blindly accepts (which is widely regarded as “real faith”) and does not question, is this really ‘truth?’ I often find it challenging to grapple with very theological ‘speak,’ but Dr. Jennings has a real gift of explaining spiritual concepts with clear practical examples. The weekly discussions are growing my Christian experience and slowly changing my view of how to live as a child of God in today’s complex world. Finally the whole Old Testament sanctuary teaching moved in my mind from fantasy to reality!

Beverly S., South Africa

 

Testimony 72

I am blown away by the truth that you present. God’s Design Law makes so much sense! You have validated my impression that, if God is love, He would not kill those who don’t want to know him. If God gives us choice, then how can He destroy us if our choice is not to follow him. Thank you for opening my eyes and heart to the pure love of God seen through Jesus. The love I now have for Jesus is deeper and free from condemnation. My heart has been opened to love others as Jesus loves me. May God continue to bless your God-given insight into His word and your ministry. The truth has set me free!

H. Miller, Centereach, NY

Testimony 56

I cannot thank you enough for opening my understanding to the beautiful truth of God’s Law of Love and how it applies to everything. I have been a Christian for over forty years, but I feel like I am only now seeing with my eyes open. Thank you, Thank you, Thank you!!

Tammy Cinzio, Australia

 

Testimony 16

Your seminars are still inspiring and changing our lives and we continue to share the principles we have learned from you. Your ministry has changed our lives!

E.W.

 

Testimony 38

Since November 2015, when I started studying Gods word from this God Is Love point of view, my life has been transformed. My troubled marriage of 15 years has been healed and my husband and I are truly happy for the first time in 15 years. Now When I read the word of God I understand it so much better and I can’t help but see Gods love radiating through the pages to humanity. Gods word is living and active and I am blessed beyond measure to be having this amazing experience. God has given me a beautiful understanding of Jn 3:16 that amazes me more and more each day. Thank you again for your ministry.

Helen D., London, England

 

Testimony 23

I would just like to add my voice to the many people who, I believe, must have contacted you to express their appreciation for the “Healing the Mind” DVDs. I’ve been listening to your Bible study class discussions for many years and I’ve been personally blessed by your research and teaching about the character of God.

L. G., Oakland, MI, USA

 

Testimony 14

We really appreciate your views on the judgment and they make good sense considering our free choice.

Anonymous

 

Testimony 41

I have been blessed by your ministry. I have experienced personally, and deeply resonate with, the God of love and the beautiful picture of God’s character that you present. I have seen your seminar series on YouTube, read ‘The Journal of the Watcher’ book, used your mobile app, and also listen/study the bible study lesson with you each week. I concur with many of the thoughts and perspectives that you share. I understand your conclusions on natural laws vs imposed law and the legal/penal substitution (incorrect diagnosis). This makes perfect sense to me.

Bless you for all you do.

Melissa L.

 

Testimony 30

God lead me to your book “The God-Shaped Brain” while I was searching for another book about the brain and then to your interview about your book on HeartWise Ministries [where] I found out about [Come And Reason Ministries]. I’m now devouring the webcasts of your Bible studies. I have been so greatly blessed and I thank God so much for your courage to speak the Truth in love no matter what. Listening to you contrast the two opposing systems (laws) and digging deep to unearth the hidden treasures in the Bible makes me so incredibly happy and I feel very blessed to be part of your Bible Study Group although I live far away. I am just so excited that there is a group of people that is spreading the Truth about the character of God and it saddens me how few realize what our Father in Heaven is really like.

Kessy B., Australia

 

Testimony 32

The message [of Come And Reason Ministries is] for all Christians (and those who may become Christians) and not just Adventists or any other group. It is difficult to imagine why any [anyone] with intellectual and spiritual honesty could find fault with the way you explained the healing substitution concepts and the truth about God’s character, though I know some will reject and criticize. On behalf of those in our group near Tacoma, WA, thank you and your staff for all of the hard work and for sharing the Gospel in this manner. God’s message of healing love will be carried to the whole world and then Jesus will come – He promised it.

Terry U., Tacoma, WA, USA

 

Testimony 57

You have helped make sense of thirty two years of confusion. The material you freely provide reorganized so much of my life into such a beautiful pattern that has always been hinted at from within, but misguided with my training and what I was experiencing externally. My filipno parents, who were converted from Catholicism to SDA, were sincere and did their best to raise me the right way and I have deep respect for them. However, being immigrants and not understanding the language made for a difficult transition as I was growing up, which also applied to my spiritual growth as I learned the patterns of religion. I have been listening to as many bible study classes and reading blog posts as my time in a work truck will allow, searching for the practical applications of where spirituality and reality meet, and I thank you for helping me find that. You have helped me reach a point in which I can truly say that I love God, that I believe He loves me, and, like David, I delight in His law. God bless.

Emmanuel V., Calgary, AB Canada

Testimony 10

I personally download and listen to each of Come And Reason Ministries Bible study class lessons and PDF study notes to use when teaching my class. Really appreciate the class especially when Dr. Jennings is teaching. Thank God there are persons like him doing His work and traveling to share His beliefs.

B. L.M., North Plains, OR, USA

 

Testimony 66

I am incredibly grateful for the transformative impact you’ve had on my life, and words cannot fully express my appreciation. Over the years, I have been an avid listener and follower of C&R and extend my heartfelt thanks for creating the C&R mobile app. It has allowed me to immerse myself in your lessons repeatedly, enabling me to grasp the profound significance about the Character of God, Design Law, the protocols for life, the reasons behind the current chaos, and Christ’s mission to restore everything. They have deeply touched me. Having studied with various churches, I came away with the perception that God is no different from the deities of ancient Greek or Roman mythology—demanding sacrifices and taking pleasure in bloodshed. Thanks to your transformative teachings, I have experienced a profound awakening to the true nature of God and the immense power of His love. It is truly a remarkable and liberating sensation to finally grasp the truth and embrace the empowering nature of God’s laws. My self-perception has become brighter and more infused with love. My journey of growth continues on a daily basis.

Chris P., Lake Mary, FL, USA

 

Testimony 13

I borrowed “Healing The Mind” DVDs from a friend and showed them at my home for a small gathering of women friends. Neither of my friends are Adventist, but they both enjoyed and embraced the messages you taught. In fact, one of the ladies prayed out loud in our group and that was the first time she had ever had public prayer.

J.B. ,Dalles, OR, USA